Tuesday, 28 January 2014

Hatimaye Mh, January Makamba atimiza umri wa kugombea Urais

Leo 28/January 2014, kijana na mwanasiasa machachari na mwenye maono makubwa ya kiongozi ndugu January Makamba ametimiza miaka 40 ambao ni umri unaotakiwa kikatiba kugombea urais

No comments:

Post a Comment

Tuandikie maoni yako kuhusu habari hii
Asante kwa Mchango wako