Friday, 24 January 2014

CHADEMA,Zitto ,Mbowe na 48 LAWS OF POWER

Hapa JF tuliwahi kumjadili Kikwete zamani kwa kutumia kitabu hiki maarufu '48 laws of power'
http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...r-2-print.htmlleo ningependa tukitumie kitabu hiki kujadili yaliyotokeaCHADEMA hasa kwa Zitto na Mbowe na viongozi wote kwa kutumia kitabu hiki.....
  • Je ni sheria zipi Zitto alizitumia vizuri au alishindwa kuzitumia?
  • Mbowe aliweza zipi? zipi alishindwa na wengineo mfano kina Lissu na Mnyika na Lema wana tumia zipi na zipi wanashindwa...
................naamini itakuwa kitu cha kujifunza kwa kila mtu................

No comments:

Post a Comment

Tuandikie maoni yako kuhusu habari hii
Asante kwa Mchango wako