UCHAGUZI KATA YA NYASURA WILAYA YA BUNDA HATARINI KUTOKUFANYIKA.
Uchaguzi wa kata ya Nyasura wilaya ya Bunda hatarini kutokufanyika.
Kwa nini?!
1. Nia ni kutaka kumuokoa Mh Wassira na ccm kwa aibu watakayovuna. Kumbukeni wassira alisema chadema inakufa kabla ya 2013, hivyo kushinda kwa chadema kwenye kata hiyo ni sawa na kudhihirisha kuwa Wassira alitumika/anatumika kama tarumbeta la Propaganda.





.jpg)


.jpg)

